Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu Edgar Rutaraka likiwa limebebwa kuelekea eneo la makaburi lililopo nyumbani kwao Kijijini Bundaza-Ibwera Bukoba
Marehemu Edgar Rutaraka pichani alizaliwa tarehe 3 April 1975 katika hospitali ya Muhimbili Jijini Dar es Salaam,Edgar ni mtoto wa pili kuzaliwa kati ya watoto Saba wa familia ya Mzee Rutaraka na ameacha mtoto mmoja wa Kike.
Jeneza lenye mwili wa Mpendwa wetu Edgar Rutaraka likiwekwa chini kabla ya kuingizwa kwenye makazi yake ya milele
Baba Paroko wa Parokia ya Nyakimbimbili akiongoza kuweka Udongo kwenye kaburi la mpendwa wetu Edgar Rutaraka.
Muendelezo wa matukio ya picha mazishi ya #mazishiyaEdgarRutaraka
Muhaji Kachwamba pichani kulia ameweza kuungana na waombolezaji wengine kushiriki mazishi hayo
Marafiki wa marehemu Edgar wakiweka shada la maua.
Mzee Rugaimukamu akiweka tayari kuweka shada la maua kwenye kaburi la Edgar Rutaraka
Bwana Msushobozi akiweka shada la maua
Wawakilishi kutoka Jijini Dar es Salaam wakiweka shada la maua.
Kwapamoja ndugu wa Marehemu Edgar wakiweka shada la maua.
Baba na mama wazazi wa Edgar wakiweka shada la maua
Mmoja wawaombolezaji akiwa katika hali ya simanzi
Mtoto waMarehemu Edgar Rutaraka mara baada ya kuweka shada la maua kwenye kaburi la baba yake mpendwa.
Muendelezo wa matukio ya picha eneo la kaburi.
Paroko akipokea shada la maua
Baba Paroko akiweka shada la maua kwenye kaburi la Mpendwa wetu Edgar Rutaraka
Muonekano wa Makazi ya milele ya Mpendwa Edgar Rutaraka
Mwanzo wa matukio ya picha kutoka kijijini Bundaza- Ibwera shughuli ya mazishi ya mpendwa wetu Edgar Rutaraka
Muendelezo wa matukio ya picha mazishi ya #mazishiyaEdgarRutaraka
Mdau Optaty Henry akiwa ameungana na waombolezaji wengine kushiriki mazishi ya rafiki yake Edgar Rutaraka
Mzazi mwenzie na Edgar akifarijiwa na Bwana Ernest Mushobozi ambaye ni rafiki mkubwa wa familia
Mzee Deo Rugaibula akiwa ameungana na waombolezaji wengine katika msiba huo
Waombolezaji wakiendelea kuwasili msibani hapo a #mazishiyaEdgarRutaraka
Taswira mbalimbali kabla ya maziko ya mpendwa wetu Edgar Rutaraka
Muendelezo wa matukio ya picha mazishi ya #mazishiyaEdgarRutaraka
Huduma ya Chakula ikiendelea mapema kabla ya Shughuli ya mazisho
Huduma ya Chakula ikiendelea kwa watu wote.
#mazishiyaEdgarRutaraka
#mazishiyaEdgarRutaraka
Muendelezo wa matukio ya picha mapema kabla ya shughuli ya #mazishiyaEdgarRutaraka
Mzee Rugaimukamu akiwa ameongozana na binti yake Nehema.
Bi Nehemu Rugaimukamu na baba yake mzazi wakati mzee akiwasili msibani hapo
Hakika watu ni wengi kweli kweli kutoka maeneo mbalimbali
Swhemu ya wanafamilia wakicheck na Camera yetu mapema kabla ya shughuli ya mazishi
Yupo pia Bi Rehema Ramadhani wa Edgar.
Bwana Soma, Rahym na Haron Baruti wakiwa wmefika kumfariki mzee Rutaraka.
Pichani ni Shangazi zake Marehemu Edgar Rutaraka
Muonekano wa Jeneza muda mchache kabla ya Ibada ya Mazishi
Watoto wakicheck na Camera ya bukobawadau
Muendelezo wa matukio ya picha msibani hapo
#Bukobawadau @bukobawadau tunatoa pole kwa familia ya Mzee Rutaraka kufuatia kifo cha Mtoto wake wake Mpendwa Edgar Bitakwese Rutaraka tunatoa pole kwa watoto wa Marehemu ndugu jamaa na marafiki...Bwana ametoa, Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe!!!
Mama Chui (Salome) na Bi Lily Tigo (Mwise)
Bwana Jamal Kalumuna, Bi Salome Chui na Bi Lilian Mwise Peter wakiwa msibani hapo
Muendelezo wa matukio ya picha mazishi ya #mazishiyaEdgarRutaraka
Edmund Rutaraka mdogo wake marehemu Edgar Rutaraka akitafakali jambo kufutia msiba huu
Bwana Edgar akiteta jambo na Binti Rugaimukamu #mazishiyaEdgarRutaraka
Inasomeka; R.I.P Edger Rutaraka We Know You are in a Better Place and One Day we Shall meet agai
Muendelezo wa matukio ya picha mazishi ya #mazishiyaEdgarRutaraka
Muendelezo wa matukio ya picha mazishi ya #mazishiyaEdgarRutaraka
Muendelezo wa matukio ya picha mazishi ya #mazishiyaEdgarRutaraka
Mwalimu Kachwamba akifanya mawasiliano
Maeneo ya msibani Jirani kwa Marehemu mzee Rufarana
Mapadre wakionfoza Ibada maalumu #mazishiyaEdgarRutaraka
Edmond akiongozana na Mama yake mzazi kutoa heshima zao za mwisho kumuaga mpendwa wao
Mtoto wa marehemu Edgar Rutaraka machozi yakimtoka wakati wa kutoa heshima za mwisho
Ni simanzi kubwa kwa binti huyu kumpoteza mzazi wake.
Adv. Ishengoma akiongozana na Rahym Kabyemela kutoa heshima zao za mwisho
#Bukobawadau @bukobawadau tunatoa pole kwa familia ya Mzee Rutaraka kufuatia kifo cha Mtoto wake wake Mpendwa Edgar Bitakwese Rutaraka tunatoa pole kwa watoto wa Marehemu ndugu jamaa na marafiki...Bwana ametoa, Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe!!!
Utaratibu wa kutoa heshima za mwisho ukiendelea
Waombolezaji wakitoa heshima zao za mwisho
Waombolezaji wakiendelea kutoa heshima zao za mwisho.
Bwana Hamim mwenezi CCM Mkoa Kagera akitoa salaam za rambirambi.
Wakati Hamim Mahamud akikabidhi rambirambi kwa niaba ya Uongozi wa CCM Mkoa
Historia fupi ya Edgar Rutaraka ikisomwa na Mdogo wake Edmund Rutaraka.
Utambulisho ukiendelea kwa kuzingatia makundi maalumu
Katika utambulisho pichani ni marafiki wa karibu na familia hii ya mzee Rutaraka
Neno la familia kutoka kwa Mzee Rutaraka
Umati wa waombolezaji wakiendelea kufatilia kinachojiri
Mwisho mara baada ya shughuli ya maziko kukamilika...kupata matukio zaidi ungana nasi katika kurasa zetu za facebook na,Instagram @bukobawadau
Padre akiwa tayali kusimika msalaba kwenye kabri
Na hii ndiyo ilivyokuwasafari ya mwisho ya maisha ya mpendwa wetu Edgar Rutaraka ...kupata matukio zaidi ungana nasi katika kurasa zetu za facebook na,Instagram @bukobawadau
#Bukobawadau @bukobawadau tunatoa pole kwa familia ya Mzee Rutaraka kufuatia kifo cha Mtoto wake wake Mpendwa Edgar Bitakwese Rutaraka tunatoa pole kwa watoto wa Marehemu ndugu jamaa na marafiki...Bwana ametoa, Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe!!!
Muonekano wa Makazi ya milele ya Mpendwa Edgar Rutaraka
Bwana ametoa na Bwana ametwaa...!