Bukobawadau

BREAKING NEWZZZZZZZZZZZZZZZZZZ 20% atua bukoba!!!!!!!!!

Hapo anaonekana Msanii 20% nje ya lango la uwanja wa Ndege mjini bukoba

Picha ya pamoja mda mchache baada ya msanii 2% kufika Smart Hotel ambao pia ni wadau wa kubwa wa maandalizi na udhamini wa Miss Kagera 2011.kutoka kushoto ni Mr Evance Mwijage,wa pili ni Manager wa smart hotel akiwepo 20% mwenye kauli mbiu ya sura mpya miguu ya zamani akiwa na maana ya kwamba safari ya mziki kaianza zamani ila kwa sasa ndio wadau wanamfahamu,Na wa mwisho ni manager wa Kiroyera tours Mr Willy.
Mr Iman aka Veterani akiwa na msanii bora nchini Tanzania 20%
Mr Willy wa Kiroyera tours akiwa na msanii mwenye kila sifa na vigezo 20% ambaye amekuja bukoba kwa shughuli moja tu!!!nayo ni kuakikisha wadau wa mji huu wanapata swagar za hatari akiwa anawasindikiza warembo katika shindano la kumtafuta Miss Kagera litakalofanyika usiku wa leo kwenye ukumbi wa Linas Night Club.Hii si ya kukosa wadau mnaopatikana pande za bukoba Mjini na vitongoji vyake kumbukeni tuzo tano si haba.
Hapa 20% anaonekana ametulia chumbani kwake smsrt hotel,Hotel ya kisasa kabisa na yenye ubora,Wazamini wengini wa Miss Kagera ni Nice &Lovely Saloon,Linas Night Club.Bukobawadau blogspot,Michuzi blogspot,Kasibante Fm Radio,Vision FM Radio,Smart Hotel na Kiroyera Tours.
Next Post Previous Post
Bukobawadau