Bukobawadau

Jahazi kumudu abiria wake Ndani ya CLub Linaz week'nd hii!!!!!!!!!!!!!!

Mzee Yusuph na dada yake khadija Yusuph wakitia nakhshi ndani ya Club linaz usiku wa janaa.
Mzee yusuph akiimba kwa hisia kali moja wapo ya kazi zake.Wimbo wa daktari wa mapenzi ndio uliozikonga nyoyo za mashabiki waliomiminika kwa wingi kumshuhudia
Daaaaaaahhh kiukweli hali ilikuwa ni tata mno kiasi nimeamua kukuachia wewe mdau ujionee mwenyewe kilicho jiri.

Bi Reila Rashidi akitia naksh kwenye vipande vyake na kama mnavyo jua wadau huyo ndiye mke wa Mzee Yusuph.
Wadau pichani ni Bwana mafether akiwa na Kamala wa Jamco video production.

Namna watu walivyo kuwa wameenea ukumbini
Mwasibu NBC Bank tawi la bukoba mama Mick nae ndani akifuatilia harambaa harambaaaaaaaaaaaaa linavyo pekechuliwa
Next Post Previous Post
Bukobawadau