Bukobawadau

ILIKUWA FULL ILE MBAYA AA!!!!!!!!!!!!!NI USIKU WA JAHAZI...WADAU KATIKA PICHA MBALIMBALI

Watu na matukio ata kama simu ni nokia ya tochi ilikuwa ni hekaheka tu mwanzo mwisho
Ndg tono mwenyewe ujiita handsomeboy

Pichani ni Bi Zurufa Said Self Mwarabu wa kagoma


NAKSHI NAKSHI ZA MZEE YUSUPH ZILIWAGUSA WADAU KIBAO KAMA UNAVYO JIONEA KATIKA PICHA

Pichani kushoto ni Mr Ernest (mkuu wa bandari),Mr Deo Rugaubula(mkurugenzi DEKA enterprise na wa mwisho ni Ndg Gody Katemana (mdau)
Pichani kushoto ni Mr Deo Rugaibula akiwa na Ndg Gody Katemana wakifatilia jambo.
Mr Georvin wa ABBOS na Mwamedi Kikwemu.
Huyo mwenye bashasha ni Ndg Sued Juma Sued
Bi Hawa (mama husna katika pozy)
Mkurugenzi wa Optaty Shop Ndg Folo (kushoto),akiwa na swaiba yake wa Perfect store & general Ndg Pajero.

Ni Ndg honest,Ndg Divo aka Serikali na kwa mbali kulia ni Ndg Ernest Nyambo(mkuu wa bandari
Next Post Previous Post
Bukobawadau