Bukobawadau

shangwe za juma hili usipime!!!!!!!

swagar,action full asecdo utata mtupo akiwakilisha msanii wa Muleba Bk Sande na wimbo wake wa 'kubanamwenzile'
Ilikuwa full na watu ngeri zote kama unavyojionea ktk picha huyo mama na kichanga mgongoni nae ndani ya nyumba!!!

Dokita Emmanuel Ernst Mbaule wa 88.5 Kasibante Fm Radio,akiwa na mwenzie katika kusababisha swala zima la ushereheshaji.
Kivutio kikubwa ilikuwa ni kwa msanii BK sunday alifanya kusababisha mpaka ikawa gumzo na hapo anaonrekana akipewa ft na msanii wa Nshomilekiukweli palichimbika.
Maudhulio yalikuwa zaidi ya darasani .
Miss Kagera 2011 Miss JanEth Abdul akipita jukwaani akiwa na vazi la ubunifu.kwetu sie bukobawadau tunakwambia haina majoto!!!
Next Post Previous Post
Bukobawadau