Bukobawadau

Breaking newwwzzzzzzzzzzzz:Jairo asimamishwa Kazi!!!!!!!!!!!!!!!!

Katibu wa Wizara ya Nishati na Madini Bw. David K. Jairo (pichani) amesimamishwa kazi, taarifa hii imetolewa na katibu Mkuu Kiongozi Philemon Luhanjo leo , Bw. Luhanjo amesema kuwa Bw. Jairo amesimamishwa ili kupisha uchunguzi wa tuhuma anazokabiriwa nazo.
Next Post Previous Post
Bukobawadau