Bukobawadau

Fullllllll Kaulule ya nanenane !!!!!!!!By Mc Baraka!

Ilikuwa shughuli kuweza kukatiza langoni kutokana na wingi wa watu
Barabara kuelekea pande za kyakailabya kwenye maadhimisho ya nanenane ilikuwa hivi!!
Banda la chama cha ushirika KCU 1990 LTD

Ata wewe mdau ungeweza kutoa sh 500 ili upate kupiga picha na farasi.
Kilimo kwanza
Mdau Ds katika libeneke la nanenane
Kama kawaida sagulasagula mikandamizo inaendelea
Huyo ndio Sungura mnyama,hivi karibuni neno sungura limechukua kasi kwenye Bunge letu la jamhuri kwa kutolewa mifano mbalimbali,wadau wenzangu wenyekujua naamini tupo wote hapo!!!





Next Post Previous Post
Bukobawadau