Bukobawadau

Mdau Hamza Itembwe afuturisha

wadau wakijiudumia kama unavyojionea Pichani ni Ndg Fadhil Itembwe na wa Nyuma ni Ndg Majid Yusuph(promise)
Mdau Hadam (wabago)akipata futari nyumbani kwa ndg Hamza Itembwe

Sheikh Jamada(maulana)
Shuhuda wako kuna kawepesi napata katika kufatiria matukio kama hivi nilijikuta ni sehemu ya waalikwa na hapo nafanya nifanyavyo
Mdau Hamza(Baba Ibra)Itembwe akiwa meza moja na maustadhi.




Next Post Previous Post
Bukobawadau