Bukobawadau

HAPA NA PALE NA CAMERA YETU;Wadau msibani Nyumbani kwa Dada Teddy

Mr Deo Rugaibura na Mdau Mr Mtensa.
Kushoto ni Kamar Haji Gulam na Mdau Majid Kichwabuta
Kushoto ni mdau Super Mkude,Mdau Dele(kitambo sana huyu mtu)na Mdau Janee John K wakiwa msibami nyumbani kwa Dada Teddy
Kaka Mkuu,Katikati ni Mr Mgisha na Haji Gulam
Mama Nice na Mama Kisha.
Mama Rugusha akiwa akimfariji mfiwa
Katika hali ya majonzi,uzuni na simanzi kubwa anaonekana kujiinamia Dada Teddy kwa kuondokewa na Mama yake Mzazi.
Pembeni ukutani ni Mdau Bi Janath Mussa(kayanda)

Mdau Eugin Kabendela na Mdau Gilbart.
Next Post Previous Post
Bukobawadau