Bukobawadau

MKESHA WA KRISMAS LINAS CLUB; Suma wa Hakunaga afanya kweli nje na ndani,Benjamin kawaida sana!!!! Hemed mwacheni aitwe PHD....

Mzee wa Hakunaga aka Sumalee aka Mzee wa andasi akifanya vitu vyake..!!!
Kikubwa alicho nivutia mwana chemba squad Suma ni nidhamu ya kazi,jamaa yupo makini sana.
Hemed mzee wa Tusker project aka The Phd hakika mshkaji anajijua.....
The PHD
Mtu mzima Dj Odella picha ya pamoja na wasanii.
Wadau wakipata kile kilicho stahili kutoka kwa Dogo Asley hii ni katika mkesha wa cheistimas
Benjamin wa Mambo Jambo jukwaani.
Kama kawaida yaliyo yamo ukicheck kwa umakini utagundua ninacho maanisha mdau.
Wadau wakipaga ndani ya Club linaz
Hii nivile tu wadau wanavyo onyesha kuikubali Club Linas
Hii ni hakunaga.
Next Post Previous Post
Bukobawadau