Bukobawadau

HAPA NA PALE NA CAMERA YETU LIBENEKE LA WADAU KITAANI

Hii ni katika hali ya kawaida tu anajaribu ni vipi anaweza kuonekana katika mwonekano huu na kweli ameweza ni katika usahili wa uigizaji mitaa ya Nyakanyasi Bakoba-Bukoba.
Kutoka buhayaroot hii nimeipenda.'How much does the Water Pump cost????'
Hapa nikitaja kinacho nitakua natangaza kazi yao
Binti mdogo wa kihaya anavyo onekana.
Binti mdogo wa kihaya ndani ya Disco toto,disco buggy la mchana.
Kila kukicha kinaeleweka kila mdau anapenda kutoa ushirikiano kwa njia moja au nyingine...ndio tunasema hapa na pale na Camera yetu
Hawa ni wana uwafananisha maisha yao na kundi Immature akina Omario wambele.
Bidhaa za (BIDGO) kutoka Kitwe Shop.
Mafuta ya kupikia yenye ubora yasio na shombo ni fortune,golden fly na cowboy yote yanapatikana Kitwe Shop waliopo mtaa wa tupendane.
Ghafla nakutanaa mdau Dr.Mabimbi.
Mdau Kadanke Erasmus G.Wa misifa
Ni Mzee maarufu maeneo ya Kashasha na ni mtu ambaye natamani tena kukutana nae.
Mdau Hamim Mahamud katika pitapita United Kingdom warehouse
Next Post Previous Post
Bukobawadau