Bukobawadau

EVANS BUKUKU LIVE COMEDY SHOW YANG'ARA JIJINI DAR

 Msanii wa muziki Carolla Kinasha ndiye aliyekuwa ni mshereheshaji katika Evans Bukuku Live Comedy Show iliyofanyika Nyumbani Lounge jijini Dar es Salaam.
 Wacha weeee... kila mmoja alikuwa na namna yake ya kucheka.


  Evans Bukuku akiwavunja mbavu... yani hapa unabonyeza hivi..

 Ha ha ha ha ha ha!!!

 Mshereheshaji Mahiri wa Evans Bukuku Live Comedy Show, Taji Liundiakitoa moja ya salamu inayotumiwa na vyama.




Wageni waliohudhuria katika Evans Bukuku Live Comedy Show wakivunjika mbavu kwa vicheko.

 Mmoja ya wachekeshaji mahili katika kundi la Evans Bukuku Live Comedy, Dogo Pepe akionyesha manjonjo yake.
Picha zote na kajunason blog
Next Post Previous Post
Bukobawadau