PAMBANO LA NGUMI ZA RIDHAA BONDIA NEMES SEVELINI AMTWANGA HAMAD RASHID KWA POINT
Bondia Nemesi Sevelini atangazwa mshindi baada ya kumpiga Hamad Rashid kwa point katika pambano la round 10 lililofanya usiku wa leo Ukumbi wa STRANTON LINAS.
Mwamuzi wa mchezo huo akisubiri kutangazwa kwa mshindi.
Piga nikupige
Wadau mbalimbali wakifatilia ndondi usiku huu.
Toka enzi za Kaijanante huwezo kuzungumzia Mchezo wa Ngumi Mjini hapa bila kumzungumzia Mzee Athmanan Kiboko pichani.
Wasaidizi wa Nemesi Sevelini wakizingatia...
Mpaka round ya 8 hali ilikuwa tete kwa bondia Hamad Rashid Pichani.
Mazingira tata ya Ulingo alimanusura Mdau nijeruhiwe!!!
Mashabiki wa Masumbwi wakionekana kujigawa kimakundi kutokana na kambi zao.
Huyu ni Jaji namba moja
Hapa kuna neno litafata naomba tuendelee
Jaji namba mbili ...
INAENDELEA..
.
Mwamuzi wa mchezo huo akisubiri kutangazwa kwa mshindi.
Piga nikupige
Wadau mbalimbali wakifatilia ndondi usiku huu.
Toka enzi za Kaijanante huwezo kuzungumzia Mchezo wa Ngumi Mjini hapa bila kumzungumzia Mzee Athmanan Kiboko pichani.
Wasaidizi wa Nemesi Sevelini wakizingatia...
Mpaka round ya 8 hali ilikuwa tete kwa bondia Hamad Rashid Pichani.
Mazingira tata ya Ulingo alimanusura Mdau nijeruhiwe!!!
Mashabiki wa Masumbwi wakionekana kujigawa kimakundi kutokana na kambi zao.
Huyu ni Jaji namba moja
Hapa kuna neno litafata naomba tuendelee
Jaji namba mbili ...
INAENDELEA..
.