Bukobawadau

GARI TOYOTA HIACE INAUZWA IPO KATIKA HALI NZURI NA INAFAA

Gari hili linauzwa lipo katika hali nzuri linafaa kwa  kwa kukabiliana na hali yoyote ya barabara.
Gari nisafi mie mwenyewe wadau nimeipenda ila uwezo wa kuinunua ndio sina
BEI YAKE NI TSH 8,000,OOO/=SHILINGI MILIONI NANE TU ZA KITANZANIA!!!!

MAWASILIANO PIGA SIMU +255 755 017061 AU +255 754 505043 NA +255 713 397242
Next Post Previous Post
Bukobawadau