HIVI NDIVYO ILIVYOKUA SHUGHULI YA KAPU LA MAMA (MJUBURO) KWA WANANDUGU AFIDH NA AZIZA
Mdau Hafidh na Bi Aziza wanandugu hawa wakiwa katika pozy la pamoja ikiwa leo ni siku yao ya kipekee kwa mzazi wao kuweza kutimiza adhima ya kuwafanyia shughuli ya kapu la mama maarufu kama (mjuburo)
Mama Mzazi wa Vijana hawa akitoa nasaha kwa wanae sambamba na kuwashkuru wadau waliojitokeza katika shughuli hii
Akiongea kwa umakini ,utulivu, busara na kwa hisia Bi Aziza kikubwa alicho kisema ni nani kama Mama hakika na akamshukuru Mungu...!!
Ndg na Jamaa wakifunguka kwa furaha na ndelemo
Mambo yetu yale kwa akina Mama, hapa illikuwa si mchezo ama kwa hakika Ukumbi wa Linas umetikisika.
Wadau wakishangweka
Mwonekano wa watu mbalimbali waliojitokeza katika shughuli hii ya Kapu la mama ambapo Bi Azizi anaolewa alikadhalika Kaka yake Afidh yeye anatalajia kufunga ndoa hivi karibuni mjini hapa.
Katika hali ya kupendeza anaonekana Mdau Hafidh na Wapambe wake waki bhampa side to side.
Mama Aziza akiendelea kutoa Zawadi mbalimbali.
Mambo ya Jikoni yakitekelezwa na Mama Aziza.(hii kweli inahusu...)
Mambo ya Jikoni yakitekelezwa na Mama Aziza.(hii kweli inahusu...)
Zawadi zikiendelea kutolewa na kupokelewa kama anavyo onekana Bi Selina katika ushirikiano na Bi Aziza.
Bukobawadau tunachukua fulsa hii kutoa pongezi kwa Wanandugu hawa na familia nzima ya Abdulmalick wa Kashai.
Watu kutokana pande mbalimbali wakiendelea kufatilia kinachoendelea.
Washereheshaji wa shughuli hii walisimama vyema Bi Shamila wa Mashauzi wa 88.5 Bk Kasibante Fm Radio na Bi Joyce Lubozi maarufu kama(teacher) pichani.
Kushoto anaonekana Mama Sabrina Visram na Mama Seleda hawa ni wadau wakubwa wa shughuli hii.
Mdau Shukru pichani akisema safi sana!!
Pongezi kutoka kwa Bi Joyce Lubozi
Mama mzazi katika picha ya pamoja na wanae.Mdau Shukru pichani akisema safi sana!!
Pongezi kutoka kwa Bi Joyce Lubozi
Katika kupongezena kwa mchakato mzima..
Mdau Afidh aka Kigaisa.
INAENDELEA...