Bukobawadau

HARUSI YA MDAU EDWIN BANYENZA NA BI ANETHH WILBROAD MUTATINA

 Ni harusi ya mdau Edwin Banyenza na  Bi Aneth Wilbroad Mutatina, iliyofanyika tarehe 28 july katika kanisa katoliki la mwenge dar es salaam na kufuatiwa na tafrija fupi iliyofanyika katika ukumbi wa Stallion hall - kawe dar es salaam
 Maharusi katika picha ya pamoja na wapambe wao
 Katika pozi maharusi wakiingia ukumbini
 Wapambe wa Bwana harusi katika picha ya pamoja na Bwana harusi Mdau  Edwin Banyenza hivi ndivyo walivyo tokelezea!!!
 Wapambe wa maharusi wakiwa katika picha pambo ya maharusi mara baada ya ibada ya ndoa yao
Maharusi wakiwa na nyuso za furaha mara baada ya kufunga ndoa na kuwa mwili mmoja

BUKOBAWADAU BLOG TUNAWAPA PONGEZI MAHARUSI HAWA!!!
Next Post Previous Post
Bukobawadau