EXTRA BONGO WALIVYOKISANUA TENA MJINI GEITA 8-11-2012 CHINI YA UDHAMINI WA WINDROEK NA CLIMAX LEO
Ni uzinduzi wa Windhoek Beer unaoendelea kufanyika maeneo mbalimbali nchini na kupambwa na Band ya Extra Bongo chini ya Kiongozi wake Ally Choki.
Mc Jobisso wa Mabibo Beer,Witnes&Spirits Ltd akielezea ubora wa kinywaji cha Climax Herbal Power Drink kinywaji kisicho na kilevi kilichoengenezwa na virutubisho kutokana na mimea asilia
Muimbaji pekee wa kike katika band hii Khadj Kimobitel
Ally Choki
Banza mzee wa mtaji wa masikini,Nikifa mimi Banza, Elimu ya mjinga na nyinginezo zaidi alitamba na kibwagizo chake cha 'msimamishe aone'
Mr Kamala mshauri wa Mabibo Beer akimtunza Banza Stone, kulia ni Meneja wa Diseri Park iliyopo mjini Geita.
Muonekano wa Stock ya Windhoek Beer.
Mmoja kati ya wadau wa Windhoek Beer.
Seba Ngosha mpiga Dram mahiri wa Extra Bongo akiwa kajipanga kikazi
Muimbaji wa Extra Bongo maharufu kwa jina la Redock muuza sura
Ally Choki akiwajibika!
Wanadada wa Windhoek BIi Unicy na Bi Vick wote kutoka jijini Dar es Salaam wakiwa tayari kikazi
Bi Hawa katika pozy la Windhoek.
Shabiki wa Extra Bongo
Mr& Mrs Sam mzee wa Geita ni mdau ambaye shughuli zake zilikiwa zikiendelea Mjini Bukoba.
Kunua 4 na kupata 2 free ndiyo habari ya Mjini hivi sasa imetolewa na Uongozi wa Mabibo Beer, Wines&Spirits LTD wa jijini Dar es Salaam
Ally Choki katika Utambulisho na Mshauri wa Kampuni ya Mabibo Beer Ndg Kamala
Wanenguaji wa Extra Bongo , mpaka sasa ni Tanzania One katika tasnia hii ya kukana mauno.
Wadau wa Windhoek wakisebeneka na Extra Bongo wazee wa Kizibo.
Show kali ya Nyamwela ikiendelea kuwaburudisha mashabiki Mjini Geita
Mambo ya Super Nyamwela
Mc Jobisso wa Mabibo Beer,Witnes&Spirits Ltd akielezea ubora wa kinywaji cha Climax Herbal Power Drink kinywaji kisicho na kilevi kilichoengenezwa na virutubisho kutokana na mimea asilia
Muimbaji pekee wa kike katika band hii Khadj Kimobitel
Ally Choki
Banza mzee wa mtaji wa masikini,Nikifa mimi Banza, Elimu ya mjinga na nyinginezo zaidi alitamba na kibwagizo chake cha 'msimamishe aone'
Mr Kamala mshauri wa Mabibo Beer akimtunza Banza Stone, kulia ni Meneja wa Diseri Park iliyopo mjini Geita.
Muonekano wa Stock ya Windhoek Beer.
Mmoja kati ya wadau wa Windhoek Beer.
Seba Ngosha mpiga Dram mahiri wa Extra Bongo akiwa kajipanga kikazi
Muimbaji wa Extra Bongo maharufu kwa jina la Redock muuza sura
Ally Choki akiwajibika!
Wanadada wa Windhoek BIi Unicy na Bi Vick wote kutoka jijini Dar es Salaam wakiwa tayari kikazi
Bi Hawa katika pozy la Windhoek.
Shabiki wa Extra Bongo
Mr& Mrs Sam mzee wa Geita ni mdau ambaye shughuli zake zilikiwa zikiendelea Mjini Bukoba.
Kunua 4 na kupata 2 free ndiyo habari ya Mjini hivi sasa imetolewa na Uongozi wa Mabibo Beer, Wines&Spirits LTD wa jijini Dar es Salaam
Ally Choki katika Utambulisho na Mshauri wa Kampuni ya Mabibo Beer Ndg Kamala
Wanenguaji wa Extra Bongo , mpaka sasa ni Tanzania One katika tasnia hii ya kukana mauno.
Wadau wa Windhoek wakisebeneka na Extra Bongo wazee wa Kizibo.
Show kali ya Nyamwela ikiendelea kuwaburudisha mashabiki Mjini Geita
Mambo ya Super Nyamwela