Bukobawadau

SAFARI YA MWISHO YA MAREHEMU MA .ESTERIA K.IFUNYA MAZISHI YAMEFANYIKA BUKOBA BUNENA


Safari ya kuelekea kanisani kwa ajili ya ibada maalum ya kumuombea marehemu ilianzia nyumbani kwa marehemu maeneo ya National House
Wadau mbalimbali walioudhuria misa ya mazishi
Kutoka kulia ni Bw.Andrew Mutawala akifatiwa na Bi.Ana Grace Jeremiah watoto wa marehemu katika nyuso za majonzi

Aliyeshika picha ni mjukuu wa marehemu Bi. kanuza
Safari ya kuupeleka mwili wa marehemu makaburini
Sehemu ya wadau walio hudhulia masishi

Bi.Ana Grace Jeremiah katika majonzi ya kumpoteza mama yake mpendwa
Ibada ikiendelea makaburini
 Mjukuu wa marehemu Mr.kajuna katika uso wa majonzi
 Mama kajuna
Bw.Andrew Mutawala  katika majonzi makubwa ya kumpoteza mama yake mpendwa

 Kutoka kushoto ni Bi.Ashura ashirafu akiwa na Bi juliana Optat nao walikuwepo kutoa support kwa wafiwa

Wajukuu wa marehemu katika majonzi makubwa


Mwisho ni wanafamilia katika picha ya pamoja.

Next Post Previous Post
Bukobawadau