Ziara ya Balozi Dr. Diodorus Buberwa Kamala
Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala katika
picha ya Pamoja na Wanachuo kutoka Tanzania wanaosoma Chuo Kikuu cha
Ghent nchini Ubelgiji. Balozi Kamala yuko kwenye ziara ya kikazi ya
kukutana na Watanzania katika eneo lake la uwakilishi.
Mh Balozi dr deodorous Kamala Balozi wa ubelgiji akiwa na wenyeji wake oostende ubelgiji wakawi wapenda usafiri wa farasi tayri kwa kuanza kutemebelea mji wa oostende baada ya mkutano wake na watanzania waishio oostende
Mh Balozi dr deodorous Kamala Balozi wa ubelgiji akiwa na wenyeji wake oostende ubelgiji wakawi wapenda usafiri wa farasi tayri kwa kuanza kutemebelea mji wa oostende baada ya mkutano wake na watanzania waishio oostende