Bukobawadau

YAH: MICHANGO YA MAANDALIZI YA MAZISHI YA ALBERT MANGWEHA

Mpaka sasa ushirikiano tulioupata ni kampuni ya Clouds Media Group ambayo imebeba jukumu la kusafirisha mwili wa marehemu kutoka South Africa mpaka Tanzani, Bongo Records wameshachangia shilling milion 5 na Push Mobile wametoa million 5. Kamati inaomba wizara husika, mashirika, makampuni pamoja na watu binafsi kutoa michango yao katika kukamilisha jukumu la kumhifadhi katika nyumb yake ya milele ndugu yetu Albert Kenneth Mangweha.

Kwa wale wanaoweza kuchangia kupitia mitandao ya simu tuma kwa kaka wa marehemu Kenneth Mangweha namba zifuatazo:

Tigopesa - +255 717 553905
MPESA - +255 754 967738

Jina la akaunti: Kenneth B Mangweha
Namba ya akaunti: 2012505840

Benki: NMB

Tukitegemea ushirikiano wenu tunatanganguli shukrani za dhati

 Marehemu Ngwea.
Next Post Previous Post
Bukobawadau