Bukobawadau

MABADILIKO YA HELA ZA KITANZANIA KUTOKA MAKTABA YA BUKOBAWADAU

 Hivi ndivyo hela za kitanzania zilivyoweza kupitia mabadiliko mbalimbali

 Pichani ni baadhi ya noti zilizowahi kutumika nchini tanzania
 Thamani ya hela ipo katika kununua tu, Sio inavyoonekana.
Kwa kihaya mabadiliko haya yalikwenda sambamba na majina kama Ensimbi!Ekyapa, Empia, Amaela, Olupapulo, Enoti, ( Eshumuni, Ekibada, Ekyebisho)
CREDIT; Kagera Museum
VIA Kiroyera tours.
Next Post Previous Post
Bukobawadau