Bukobawadau

WATANZANIA WAJITOKEZA KWA WINGI KATIKA MKUTANO WA MWIGULU NCHEMBA DMV-MAREKANI

SWAHILI TV TELEVISION YAKO YA KIZALENDO ILIKUWEPO KATIKA KUHAKIKISHA MATUKIO YOTE YANAWEKWA KATIKA KUMBUKUMBU MUHIMU ZA VONGOZI WETU
Mhe. Naibu Katibu Mkuu CCM Mwigulu Nchemba akijibu kwa ufasaha na kwa ustadi mkubwa kabisa maswali kutoka kwa wananchi waliohudhuria Mkutano wa Maendeleo ya Nchi yetu uliofanyika DMV Jumapili Sept 29,2013
 Liz Haynes akifuatilia Mkutano kwa Makini

 Mh. Mwigulu akifafanua jambo katika Mkutano wake na Watanzania DMV

 Mhe. Naibu Katibu Mkuu CCM Mwigulu Nchemba aliruhusu kila swali liulizwe na aliyajibu yote kwa ufasaha na kwa ustadi mkubwa hakuna mwananchi aliyerudi na dukuduku nyumbani. Pichani Kulia aliyeketi ni Msaidizi wa Rais Bw. Rajab Luhwavi

 Dada Georgina Lema akiuliza Maswali yake kwa hisia kali
Next Post Previous Post
Bukobawadau