TUMEPOKEA KWA MASIKITIKO KIFO CHA DR SENGODO
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhlH8Z6-q7Ii5LKk9urBfMyWVFU8Sx_TURzNOWQ9H5UJBYUDMSSLY0d3xQ6rGwkdBE1bk1eL8fgQt3pJpAjgSDviRR3q8Rx8Xv3KD4jkEvICcJwrYFu9SdPt81XrrMK6Jo72e-Z4uTFMcMo/s640/........................................images.jpg)
Mwanamageuzi wa kweli,
Mwanaharakati mahiri
Mwanazuoni uliyebobea!
Umekufa kazini,
Ukisimamia mabadiliko yakini.
Umeondoka wakati ambapo mchango wako bado unahitajika sana.
Binafsi siko tayari kukubali kwamba umetutoka.
Najua kifo ni mepenzi ya Mola
Lakini kwa wewe wamekuwahisha sana. Tanzania bado ilikuhitaji sana.
Kwa umasikitiko makubwa
Umeuawa na watu uliowapenda
Umeondoshwa na watu uliowapigania!...
Umevipita vita vilivyo vizuri,
Harakati umezilinda
Mwendo umeumaliza!
R.I.P my Hero!
Mwanaharakati mahiri
Mwanazuoni uliyebobea!
Umekufa kazini,
Ukisimamia mabadiliko yakini.
Umeondoka wakati ambapo mchango wako bado unahitajika sana.
Binafsi siko tayari kukubali kwamba umetutoka.
Najua kifo ni mepenzi ya Mola
Lakini kwa wewe wamekuwahisha sana. Tanzania bado ilikuhitaji sana.
Kwa umasikitiko makubwa
Umeuawa na watu uliowapenda
Umeondoshwa na watu uliowapigania!...
Umevipita vita vilivyo vizuri,
Harakati umezilinda
Mwendo umeumaliza!
R.I.P my Hero!