Wapenzi na mashabiki wa LIBENEKE la Bukobawadau Blog
Msanii wa Bongo Fleva, David Genzi 'Young Dee'katika pozi na DJ Vasley wa Samakisamaki
Wadau ndani ya Kiota maarufu cha starehe jijini Dar es Salaam cha Samaki Samaki
Wakishow LOVE na Camera yetu
Kijana Victor Vasley Sleyman(Dj Vasley)
Wakifurahia birthday
KwaMtambo kasimama VYEMA Dj Biggie
Shukrani kwenu nyote mnao endelea kutambua uwepo wa LIBENEKE letu
Natambua uwepo wa Mr Ben Kataruga ,shukrani kwa ukalimu Wako Kiongozi
Dk Vinus Kataruga akifurahi na Causin zake mbele ya Camera yetu .
Katika hili na lile
Kushoto ni Kijana Ali Hamza, Dk Verusi Mboneko Kataruga Mboneko na Mdau Ben Kataruga.
Dk Verusi Mboneko Kataruga akiteta jambo na Mdau Ben Kataruga
Unaambiwa starehe gharama.
Muonekano wa Swagger tofauti ndani ya Kiota cha Samakisamaki
Mdau Avit Kato na Mdau Wase Denise wakishangweka.
Katikati ni T Bway Mtangazaji wa Eatv.
Tunaendelea kukupa tofauti kwa kukuoneshawaonesha yaliyojiri kwenye picha hapo Samaki samaki
Taste Africa’s world class beer. Windhoek Lager 100% PURE BEER…
0 comment:
Post a Comment