skip to main |
skip to sidebar
NAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA KENYA
Mhe. Janet Mbene Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara (wa pili kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Tanzania Kenya Dr. Batilda Burian (wa pili kutoka kushoto) na Balozi wa Tanzania Ubelgiji (wa kwanza kulia). Mhe. Mbene yupo Kenya akihudhuria kikao cha Baraza la Mawaziri la Afrika, Karibiani na Pacific (ACP).
0 comment:
Post a Comment