Bukobawadau

SIKILIZA AUDIO WATANGAZAJI B12, FETTY NA ADAMA WA CLOUDS FM WAKIPIGANA STUDIO

Watangazaji wa double xxl adam,fetty na b12 ni ubishani wa kitoto toto ulioanza hatimaye wakazichapa wakiwa on air kabisa,mchomvu dizaini ni km ana utata utata siku zote lakini kwasiku ya jana challenge fetty kuhusu deal ya kurelease compilation album ambayo anaifukuzia,wakati huo huo b12 akawachallenge kua wamechelewa sana coz yeye tayari amechaiandaa china.na soon inakuja,wakati huo huo Adam hakupenda hicho kitu,akasema ataitoa yeye ndipo fetty na b12 wakamchana alishindwa kutoa fiesta album tangu mwaka jana hii ataiwezea wapi,ndipo adam akaleta ugomvi na kutaka kumchapa fetty, b12 katikati akijaribu kurescue situation,ni.aibu coz yote yalikua on air na b12 mara kwa mara alijaribu kuzima mic kabla ya ugomvi na wenzake wakazidi kumuona anabana lakini wengi wanadhani alikuwa sawa katika hilo.
Muonekano wa Ofisi baada ya vurugu
PATA KUSIKILIZA KILICHOJILI HAPA CHINI.
Next Post Previous Post
Bukobawadau