Bukobawadau

BALOZI KAMALA AITANGAZA TANZANIA WETTEREN UBELIGIJI

 Picha zinaonesha Balozi wa Tanzania Ubeligiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala akibainisha fursa za uwekezaji na biashara zinazopatikana Tanzania katika Kongamano la kuitangaza Tanzania lililofanyika Wetteren Ubeligiji.
Ubalozi wa Tanzania Ubeligiji umeandaa Kongamano hilo kwa kushirikiana na kampuni za Recticel, SGS, Zonpunt na Chuo Kukuu cha Ghent.
Matukio ya picha wakati Balozi wa Tanzania Ubeligiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala akibainisha fursa za uwekezaji na biashara zinazopatikana Tanzania katika Kongamano la kuitangaza Tanzania lililofanyika Wetteren Ubeligiji.
 Picha zinamuonesha Balozi wa Tanzania Ubeligiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala akipokea maua kutoka kwa mwakilishi wa Wafanyabiashara wa Wetteren Ubeligiji baada ya kuelezea fursa za biashara na uwekezaji zinazopatikana Tanzania. Wafanyabiashara hao wamemshukuru Balozi Kamala kuwatembelea na kuwaeleza fursa za biashara na uwekezaji zinazopatikana Tanzania.
 WAFANYABIASHARA WA WETTEREN UBELIGIJI WAMSHUKURU BALOZI KAMALA
 Picha zinaonesha Balozi wa Tanzania Ubeligiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala akiwa na Washiriki mbalimbali wa Kongamano la Kuitangaza Tanzania lililofanyika Wettrern Ubeligiji.
Next Post Previous Post
Bukobawadau