Bukobawadau

KAJALA AKUNWA NA KUMWAGA MAHELA KWA WAIMBAJI WA SKYLIGHT BAND WANAOTOA BURUDANI KILA IJUMAA THAI VILLAGE, MASAKI

DSC_0028
Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK47 akitoa burudani kwa mashabiki wa bendi hiyo Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village huku akipewa sapoti na Digna Mbepera.
DSC_0030
Digna Mbepera na Bela Kombo wakimpa back up Aneth Kushaba AK47 kwenye show zao za kila Ijumaa ndani ya viunga vya Thai Village Masaki jijini Dar.
DSC_0071
Majembe ya Skylight Band yakionyesha manjonjo yao jukwaani Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village Masaki.
DSC_0082
Aneth Kushaba na Sam Mapenzi wakiwapa raha mashabiki wao huku Digna Mbepera na Bella Kombo.
DSC_0092
Sam Mapenzi na Aneth Kushaba AK47 wakifanya yao jukwaani.
DSC_0147
Pichani juu na chini ni mashabiki wa Skylight Band wakiserebuka mdogo mdogo.
DSC_0149
DSC_0158
Birthday girl nae hakubaki nyuma aliunga tela na kuburudika na Skylight Band.
DSC_0279
Msanii wa bongo movie Kajala akitembeza manoti ya wekundu wa msimbazi kwa waimbaji wa Skylight Band Ijumaa iliyopita alipokunwa na uimbaji wao.
DSC_0280
Kajala akizichomoa tu kwenye pochi lake.
DSC_0281
Joniko Flower akisubiria zamu yake.
DSC_0282
Joniko Flower akipokea manoti yake kutoka kwa Msanii wa bongo movie Kajala.
DSC_0283
Na kwa wale wasanii waliokuwa back stage pia walibahatika kujizolea manoti kutoka kwa Kajala.
DSC_0298
Wapenzi wa Skylight Band wakishuhudia tukio hilo.
DSC_0306
Twende kazi... na burudani iendeleeee..!
DSC_0326
Mashabiki nao wakajibu mapigo.
DSC_0340
Sam Mapenzi akitunzwa na shabiki wake.
DSC_0343
DSC_0160
Sam Mapenzi akiwapa raha mashabiki wa Skylight Band, Ijumaa iliyopita huku Joniko Flower na Sony Masamba wakimpa sapoti.
DSC_0164
Mashabiki wakiendelea kula raha..!
DSC_0345
DSC_0170
Birthday girl na mabeste zake wakicheza mdogo mdogo.
DSC_0189
Mguu wa kushoto mbele wa kulia nyuma...... mashabiki wakiondoka ma-style ya Skylight Band.
DSC_0115
Hashim Donode na Bela Kombo wakiburudisha mashabiki wa Skylight Band huku wakipewa back up na Aneth Kushaba pamoja na Digna Mbepera.
DSC_0121
nakupenda pia pia aha...Nakupenda pia...You make me wanna say....Nakupenda pia pia ahaa.....Vijana wakiwa kwenye hisia kali jukwaani.
DSC_0196
Majembe ya Skylight Band yakisebeneka jukwaani huku yakijaribu kuwafundisha mashabiki wao.
DSC_0198
Mkongwe wa muziki wa dansi nchini, Joniko Flower akiwachezesha ligwaride la sebene majembe ya Skylight Band Ijumaa iliyopita ndani ya Thai Village .
DSC_0146
Mtaalamu wa kupiga kinanda Danny akifanya yake huku akipata Ukodak.
DSC_0044
Mmoja wa mashabiki wa Skylight Band alikuwa akisheherekea siku yake ya kuzaliwa ndani ya kiota cha Thai Village Masaki huku bendi hiyo ikimpa zawadi ya kumwimbia wimbo maalum wa sherehe hizo kumpongeza.
DSC_0045
Birthday girl akiendelea na zozezi la kulisha vipande vya cake shosti zake.
DSC_0048
DSC_0053
Birthday girl akiteta jambo na mchumba wake Lota Mollel.
DSC_0054
Mahaba niuweeeeeeee! Birthday girl akipata kiss kutoka kwa mchumba wake Lota Mollel.
DSC_0056
Birthday girl akiendelea kukata cake kwa ajili ya kuwalisha ndugu, jamaa na marafiki waliojumuika naye.
DSC_0058
Birthday gilr na mchumba wake wakilishana cake kimahaba zaidi....!
DSC_0207
Emma Beyz na Danny Kinanda.
DSC_0223
Wadau wakipata Ukodak.
DSC_0356
Mdau Iddi Baka na Blogger King Kif wakishow love mbele ya camera yetu.
DSC_0226
Warembo wa ukweli na wenye viwango na ubora wanapatikana Skylight Band pekee hakunaga kwingine.
DSC_0239
DSC_0358
Nyomi la mashabiki wa Skylight Band likiwa limeshona Ijumaa iliyopita ndani ya Thai Village.
Next Post Previous Post
Bukobawadau