YALIYOJIRI SIKU YA "TIBAIGANA DAY" DEC 23,2014
Siku ya Jana tarehe 23 , 12,2014 ilikuwa siku maalum ya 'Tibaigana Day' iliyofanyika Nyumbani kwake Kijijini Buganguzi-Muleba Lengo kubwa la Siku hii ni kuwakutanisha Ndugu wa familia kwa pamoja.
Siku ya 'Tibaigana Day'imeadhimisha kwa matukio mbalimbali ikiwa ni pamoja na Ibada maalum, kuchangia miradi ya maendeleo kijijini ,Utambulisho,Watu kula ,kunywa na kufurahi kwa pamoja.
Wanaonekana seemu ya ndugu wa familia /Ukoo wa Tibaigana
Shughuli ilitanguliwa na Misa maalum kuanzia majira ya Saa 8 mchana ,Misa hiyo imefanyika Kwa Tibaigani Kijijini Muleba
Mapadre wakiongoza Ibada hii maalum kwa ajili ya familia ya Mzee Tibaigana.
Sehemu ya Wanakaya wakati Ibada ikiendelea
Tuwe wote mpaka mwisho kwa picha 100 za taswira yaliyojiri siku ya "Tibaigana Day Dec 23,2014"
Sehemu ya Wanafamilia wakati Ibada ikiendelea.
Mzee Onesmo Niyegira na Mzee Ernest Rugalabamu (Edden)
Picha zifuatazo ni matukio ya Ibada maalum maadhimiso ya siku iliyopewa jina la 'Tibaigana Da'
Muendelezo wa matukio ya Ibada
KUPITIA TIBAIGANA DAY 2014:BUKOBAWADAU BOG tunafurahia kuwa na uwezo wa kukupa nafasi ya matangazo katika mtandao wetu pia kwa taarifa au shughuli yotote ili kufikia idadi ya watu unaotaka kokote dunia waweza kuwasiliana nasi kupitia namba +255 784 505045,0754 505043,0715 505043 ,0768 397241
Sadaka kwa ajili ya Ibada
Wanaongozana wanafamiulia wakiwa na Vipawa mikononi
Mwl. Lambart pichani katikati
Tukio wakati Padre akibariki Vipawa kwa wanafamilia
Mapadre wakiongoza Ibada fupi eneo la makaburi
Wanafamilia wakirusha maua juu ya Makaburi kwa pamoja.
Padre akinyunyizia maji ya baraka katika makaburi
Matukio mbalimbali yaliyojiri eneo la makaburi
Ndivyo linavyo onekana eneo la Mabakuri
Waumini wakitoa Support kwa kupiga makofi kufuatia kile kinachoendelea
Mr. Avevan Tibaigana akikabidhi Mchango wa Ujenzi wa Nyumba ya Kanisa.
Mzee Tibaigana akitoa nasaha kidogo.
Wadau pichani katika hali ya Usikuvu
Mulokozi Tibaigana pichani.
Jesca Lambart Timbaigani
Chalres Junior pichani
Avevan Alfred Tibaigana , mtoto mkubwa kuzaliwa na Mzee Tibaigana.
Mwalimu E. Tibaigana, msemaji wa familia .
Aina mbalimbali za Vinywaji
Shangazi akifuatilia jambo kwa makini
Mpama mida ya Usiku shughuli ilikuwa ikiendelea na watu wakipata Kinywaji
Marafiki wa karibu wa familia ya Tibaigana Mr & Mrs Datus pichani
Jamaa hawa wanafanana kama mapacha vile na leo ndiyo kwanza wanakutana uso kwa uso
Katika hili na lile familia ya Mr & Mrs Datus.
Sehemu ya waalikwa muda mchache kabla ya kupata msosi.
Anaitwa 'Kafombo' Sweetbart Rwabizi.
Ndugu wa familia , kushoto ni Mzee Elias Tibaigana ambaye ndiye mkuu wa familia
Watoto mambo safi kabisa mara baada ya kutembezewa Soda.
Mkubwa Kaka Ermest Muhazi
Mama Haulilia katika tabasamu mbele ya Camera yetu
RCO wa polisi mkoani Kagera Gilles Mrotto
Mama Jecka akiteta na binti yake.
Kijana Eddy (Chipolopolo) sehemu ya waalikwa.
Kijana Moa Nyundo akijipoza na kitu Sprite.
Ndugu Majid Rajabu akiteta na Mdau Mtatina Theo.
Matukio yanayo fuata ni huduma ya Msosi
Watu wakiendelea kupata Chakula .
Mr Miraji na Mwalimu Kajwahula pichani wakipata chakula
Hivi ndivyo mchakato wa Menu ulivyo weza kuendelea katika shughuli hii
Vinyaji hatuna shaka...!
Omg Alex Tibaigana akiweka mambo sawa.
Upande wa Menu mambo yako hivi.
Mh. Diwani Kata ya Buganguzi Ndg Onesmo Niyegira akipata huduma ya Chakula.
Wa kwanza pichani anaitwa 'Mjumbe' kwa jina akiwa ameongozana na waalikwa wengine katika mchakato wa kupata Mulo.
Picha zaidi za Utambulisho kwa kila mwanafamilia zitakufia baadae ya leo,
Familia ya Mulokozi Tibaigana yenye watoto wa tatu.
Pichani kushoto ni Kijana Octvian Mulokozi akishow love na Baba yake mzazi Ndugu Mulokozi Tibaigana,watatu kwa kuzaliwa na Mzee Tiba, Yeye ni Mtanzania anayeishi Marekani
Mzee Tibaigana akitoa utambulisho kwa waalikwa , pichani ni familia Alex Tibaigana yenye watoto wawili.
Wajukuu wa familia/Ukoo wa Tibaigana katika picha ya pamoja
BUKOBAWADAU BLOG:tunakutakia maandalizi mema ya sikukuu ya krismas na heri ya mwaka mpya 2015.
Siku ya 'Tibaigana Day'imeadhimisha kwa matukio mbalimbali ikiwa ni pamoja na Ibada maalum, kuchangia miradi ya maendeleo kijijini ,Utambulisho,Watu kula ,kunywa na kufurahi kwa pamoja.
Wanaonekana seemu ya ndugu wa familia /Ukoo wa Tibaigana
Shughuli ilitanguliwa na Misa maalum kuanzia majira ya Saa 8 mchana ,Misa hiyo imefanyika Kwa Tibaigani Kijijini Muleba
Mapadre wakiongoza Ibada hii maalum kwa ajili ya familia ya Mzee Tibaigana.
Sehemu ya Wanakaya wakati Ibada ikiendelea
Tuwe wote mpaka mwisho kwa picha 100 za taswira yaliyojiri siku ya "Tibaigana Day Dec 23,2014"
Sehemu ya Wanafamilia wakati Ibada ikiendelea.
Mzee Onesmo Niyegira na Mzee Ernest Rugalabamu (Edden)
Picha zifuatazo ni matukio ya Ibada maalum maadhimiso ya siku iliyopewa jina la 'Tibaigana Da'
Muendelezo wa matukio ya Ibada
KUPITIA TIBAIGANA DAY 2014:BUKOBAWADAU BOG tunafurahia kuwa na uwezo wa kukupa nafasi ya matangazo katika mtandao wetu pia kwa taarifa au shughuli yotote ili kufikia idadi ya watu unaotaka kokote dunia waweza kuwasiliana nasi kupitia namba +255 784 505045,0754 505043,0715 505043 ,0768 397241
Sadaka kwa ajili ya Ibada
Wanaongozana wanafamiulia wakiwa na Vipawa mikononi
Mwl. Lambart pichani katikati
Tukio wakati Padre akibariki Vipawa kwa wanafamilia
Mapadre wakiongoza Ibada fupi eneo la makaburi
Wanafamilia wakirusha maua juu ya Makaburi kwa pamoja.
Padre akinyunyizia maji ya baraka katika makaburi
Matukio mbalimbali yaliyojiri eneo la makaburi
Ndivyo linavyo onekana eneo la Mabakuri
Waumini wakitoa Support kwa kupiga makofi kufuatia kile kinachoendelea
Mr. Avevan Tibaigana akikabidhi Mchango wa Ujenzi wa Nyumba ya Kanisa.
Mzee Tibaigana akitoa nasaha kidogo.
Wadau pichani katika hali ya Usikuvu
Mulokozi Tibaigana pichani.
Jesca Lambart Timbaigani
Chalres Junior pichani
Avevan Alfred Tibaigana , mtoto mkubwa kuzaliwa na Mzee Tibaigana.
Mwalimu E. Tibaigana, msemaji wa familia .
Aina mbalimbali za Vinywaji
Shangazi akifuatilia jambo kwa makini
Mpama mida ya Usiku shughuli ilikuwa ikiendelea na watu wakipata Kinywaji
Marafiki wa karibu wa familia ya Tibaigana Mr & Mrs Datus pichani
Jamaa hawa wanafanana kama mapacha vile na leo ndiyo kwanza wanakutana uso kwa uso
Katika hili na lile familia ya Mr & Mrs Datus.
Sehemu ya waalikwa muda mchache kabla ya kupata msosi.
Anaitwa 'Kafombo' Sweetbart Rwabizi.
Ndugu wa familia , kushoto ni Mzee Elias Tibaigana ambaye ndiye mkuu wa familia
Watoto mambo safi kabisa mara baada ya kutembezewa Soda.
Mkubwa Kaka Ermest Muhazi
Mama Haulilia katika tabasamu mbele ya Camera yetu
RCO wa polisi mkoani Kagera Gilles Mrotto
Mama Jecka akiteta na binti yake.
Kijana Eddy (Chipolopolo) sehemu ya waalikwa.
Kijana Moa Nyundo akijipoza na kitu Sprite.
Ndugu Majid Rajabu akiteta na Mdau Mtatina Theo.
Matukio yanayo fuata ni huduma ya Msosi
Watu wakiendelea kupata Chakula .
Mr Miraji na Mwalimu Kajwahula pichani wakipata chakula
Hivi ndivyo mchakato wa Menu ulivyo weza kuendelea katika shughuli hii
Vinyaji hatuna shaka...!
Omg Alex Tibaigana akiweka mambo sawa.
Upande wa Menu mambo yako hivi.
Mh. Diwani Kata ya Buganguzi Ndg Onesmo Niyegira akipata huduma ya Chakula.
Wa kwanza pichani anaitwa 'Mjumbe' kwa jina akiwa ameongozana na waalikwa wengine katika mchakato wa kupata Mulo.
Picha zaidi za Utambulisho kwa kila mwanafamilia zitakufia baadae ya leo,
Familia ya Mulokozi Tibaigana yenye watoto wa tatu.
Pichani kushoto ni Kijana Octvian Mulokozi akishow love na Baba yake mzazi Ndugu Mulokozi Tibaigana,watatu kwa kuzaliwa na Mzee Tiba, Yeye ni Mtanzania anayeishi Marekani
Mzee Tibaigana akitoa utambulisho kwa waalikwa , pichani ni familia Alex Tibaigana yenye watoto wawili.
Wajukuu wa familia/Ukoo wa Tibaigana katika picha ya pamoja
BUKOBAWADAU BLOG:tunakutakia maandalizi mema ya sikukuu ya krismas na heri ya mwaka mpya 2015.