Bukobawadau

KUUNGUA MOTO MABWENI YA MABIBO

 Baadhi ya Mabweni ya wasichana katika chuo kikuu cha Dar es Salaam Campus ya Mabibo yameteketea kwa moto chanzo kikidhaniwa kuwa ni hitilafu ya umeme.
Hata hivyo wanafunzi hao wameonekana wakililaumu jeshi la zimamoto kwa kuchelewa kuja kuzima moto hal;I iliyowachuukua muda wanafunzi hao kuzima moto huo wao wenyewe na hivyo gari la zimamoto lilivyofika kukuta tayari moto huo umeshapunguza makali yake.Endelea kufuatilia taarifa zetu kufaham zaidi
Next Post Previous Post
Bukobawadau