09 April 2015
KATIBU MKUU WA SEKRETARIETI YA AFRIKA, KARIBIANI NA PACIFIC AKUTANA NA BALOZI KAMALA
Pichani ni Katibu Mkuu wa Sekretarieti ya Afrika, Karibiani na Pacific
Balozi Patrick Gomes (kushoto) baada ya kufanya mazungumzo na Balozi wa
Tanzania Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala P ofisini kwake
Ubeligiji. Kulia ni Balozi Jagne msaidizi wa Balozi Gomes.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comment:
Post a Comment