Bukobawadau

TANGAZO KWA WANAKAGERA KUTOKA KWA MKUU WA MKOA MH.JOHN MONGELLA

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mh. John Mongella anawaalika wanakagera na wadau wote wa maendeleo kuhudhuria kikao cha Wanakagera kitakacho fanyika  siku ya Ijumaa tarehe 24/04/2015 katika ukumbi wa Chichi Hotel iliyopo Kinondoni (Biafra) jijini Dar es Salaam.
Kikao kitaanza saa 1:00 jioni.
Nyote mnakaribishwa kushiriki naye katika kujadili na kutathmini maendeleo ya mkoa wa Kagera


Next Post Previous Post
Bukobawadau