http://www.theherald.com.au/
katika picha ni wanafunzi wanaosoma shahada ya uzamivu katika chuo kikuu cha Newcastle. Kutoka kulia ni Japhace Balwegilila (mhadhili Chuo Kikuu cha Mkwawa), Elpidius Baganda (Afisa Elimu Manispaa ya Bukoba); na Kushoto kabisa ni bwana Joshua Mhalia (mhadhili chuo kikuu huria Tanzania) na Editha Baganda [Mwalimu Bukoba secondari] (kulia kwa mama kikwete). Watoto kutoka kulia ni Irene Baganda (pink) , Dorothy Baganda (gauni lenye maua) na Nancy Baganda (sweta Nyeusi).
0 comment:
Post a Comment