Lowassa: Hata wakiiba kura wataiba nyingi lakini bado zitabaki za kutufanya kushinda
Lowassa: Jambo la kwanza katika Ilani, kipaumbele cha kwanza elimu, cha pili elimu, cha tatu elimu #UkawaJangwani #Uchaguzi2015
"Madawa ya kulevya yanapopita pale Airport na hayakukamatwa yakakamatwa South Africa Lowassa alikuwapo?"- Sumaye #Jangwani #Urais2015
''Wapo watu waliofungwa na minyororo ndani ya CCM, na hawajui hatma yao hadi sasa wanaburuzwa tu'' Mbowe #Jangwani #Urais2015
0 comment:
Post a Comment