TANZIA:Mwenyekiti wa kikundi kinacho saidia kutoa misaada katika jamii 'Lugoye Social Club' anasikitika kutangaza kifo cha mwanachama wao Prof Ladislaus Lwambuka (pichani) wa Ishozi -Katano,kilichotokea ghafla usiku wa jana Jijini Dar.
Mpango wa kusafirisha mwili wa Marehemu inafanyika,Taarifa ziwafikie Ndugu,jamaa,marafiki na wananchi wote wa Ishozi
Bwana alitoa na Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe....Ameen.!!
1 comment:
We shall always remember our dear old friend Ladislaus.
We are very sad not having met him again in Germany.
Our thoughts are with his family......
Rest in peace dear friend...
Werner Catrien and family
Post a Comment