KIPINDI CHA UNYAYO WANGU: DAVID MANOTI AZUNGUMZIA ADHABU YA WABUNGE WA UPINZANI BUNGENI
Unyayo wangu ni kipindi kipya kabisa kinachokujia kupita Tone Tv,
ambacho kinaletwa kwenu na Mtangazaji wetu Eddie Nyota , kinacholenga
shabaha ya watu waliothubutu kufanya jambo fulani katika jamii na
wanauelewa na jamii husika. Utajifunza mengina kuburudika pia kupitia
kipindi hiki Kinacholenga rika zote.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiqKyB9aOSuipyIL7eK2vlzx51BkIjDVWw4Fd27d1eb3o0CGJBK4HIWNebBg1V6-1kOrUMYBpkKGhN_muhDrho__MrxmUgFDbrFJzjF-9-k3xlOIe5Rrcg6nu-eoYf9FOArc01ZNq9pveA/s640/Unyayo+Wangu.jpg)