Bukobawadau

HAPA NA PALE NA CAMERA YETU JULY 2016

 Bila shaka unakumbuka na umepata kutumia sabuni za MAGWAJI kwa kuogea kabla ya Ujio wa sabuni ya Imperial (kutoka Kenya)
Hakika ni changamoto kubwa kwa ndugu zetu huko Vijijini mpaka sasa Sabuni za Magwaji zinatumika,wananchi wanaishi kwa masikitiko sawa na dhama za  kunywa chai iliyochanganywa na pipi badala ya Sukari na kupikia samli ya ng’ombe wetu badala ya mafuta ya kupikia safi yanayotoka nje au yale ya  pamba yetu...!
 Hapa tunakutana na Wauzaji wa mabumunda /Baragala moja inauzwa kwa sarafu ya shilingi 10 tu!
 Hii ni Live kutoka katika Gulio la Jumamosi katika Mji Mdogo wa Nshamba wilayani Muleba.
Next Post Previous Post
Bukobawadau