JAMBO TANZANIA WAENDELEA KUWANUFAISHA WANANCHI KWA KUBORESHA HUDUMA ZA MAJI NA AFYA

Katika uwanja wa ndege mjini Bukoba wanawasili wajumbe wa shirika lisilo la kiserikali la Jambo Tanzania wakiongozwa na Dr.Mary Banda pichani kushoto

Jambo Tanzania is a nonprofit humanitarian organization of volunteers founded in Western Massachusetts in 1998 by DR. Mary Banda and Mr. Richard Pelland. Its mission is to serve as a lightning rod for critically needed health care and educational initiatives in he village of Bukoba and the Kagera Region of Tanzania.

Endelea kufatilia matukio ya picha na maelezo kuhusu Shirika la Jambo Tanzania


Pichani anaoneka Mr Rahym ambaye ndiye coordinate wa shughuli za Jambo Tanzania Mkoani Kagera



Katika picha ya pamoja wajumbe wa Jambo Tanzania mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege mjini Bukoba




Sehemu ya matukio wakati wa Mapokezi


Muonekane wa Jengo la Mradi wa kituo cha afya unao endelea kujengwa chini ya shirika lisilo la kiserikali la Jambo Tanzania

Ukaguzi wa Jengo la kituo cha Afya linaloendelea kujengwa katika kata ya Gera

Mr Rahym akitolea jambo ufafanuzi





Dr.Mary Banda

Mkuu wa Wilaya ya Missenyi katika picha na Dr. Mary Banda


Katika picha ya pamoja wajumbe wa Jambo Bukoba na Uongozi wa Serikali









Baadhi ya wagonjwa wakiendelea kusubiri huduma ya matibabu yanayotolewa bure kabisa


Background:Jambo Tanzania is a nonprofit humanitarian organization of volunteers founded in Western Massachusetts in 1998 by DR. Mary Banda and Mr. Richard Pelland. Its mission is to serve as a lightning rod for critically needed health care and educational initiatives in he village of Bukoba and the Kagera Region of Tanzania.



Upon our arrival in 2000, it was clear the school in Gera was substandard. Thatched roofs leaked water onto dirt floors making education a challenge. In addition there was no secondary school for the children to attend upon completion of their primary education. With money donated by individual volunteers the entire primary school has been rebuilt with waterproof roofs, concrete floors, a teachers room and the first library in the area. In addition, upon seeing our progress, the Government of Tanzania constructed a secondary school nearby, thus allowing continuation of education for all children.

In 2008 we met with the Minister of Health and received recognition for our efforts from Parliament. We reached a combined goal of having our Health Center serve as the regional center for the Kagera Region.


At present The Health Care Center consists of a Reception Area, Individual Exam Rooms, a room for injections, a Dispensing Room/ Pharmacy, Storage Room and private Toilet Facilities. An enclosed area is available for health care education. In order to complete the Center, we plan to build a second building with a Minor Surgical Suite, Labor and Delivery room, Maternity Ward, Female, Male and Pediatric Inpatient Rooms, Administrative and Staff rooms and an incinerator. At present electrical power is supplied through a single solar panel, but it is our hope to add multiple additional solar panels and have an electrical line run to the facility.

In order to attract qualified and committed medical personnel, we anticipate the need to construct nearby housing. This will assure the presence of staff on a 24 hour basis.



Health Care Cente



DONATE


10 thermometers - $10
1 Bedstand - $50
4 Stretchers - $500
1 Hospital Bed - $500
1 Suction Machine - $400
1 Operating Table - $10,000
1 Autoclave - $8000
1 Oxygen Concentrator - $3000

Utowaji wa zawadi ukiendelea..




