Bukobawadau

KIWANJA CHAWAKA MOTO JIJINI DAR

Kiwanda cha nguo ambacho ni moja ya viwanda vichache vinavyo fanya kazi ambapo kwa sasa kilikua kinatengeneza khanga na vitenge vilivyoanzishwa na baba wa taifa mwalimu Juliaua Nyerere kimeungua moto asubuhi ya leo.
 Picha na Tbn
Ni tukio la hivi punde ,kwa taarifa zaidi tujuinge katika taarifa ya habari ya Channel Ten
Next Post Previous Post
Bukobawadau