Bukobawadau

TASWIRA YA MJI MDOGO WA NSHAMBA MULEBA


Pichani wanaonekana Wananchi wakifua mtoni Kutokana na shida ya maji kwa baadhi ya maeneo hali hii huwa ndio suluhisho kwa jamii fulani huko Vijijini kwetu, hapa ni maeneo ya Kalela Nshamba Wilayani Muleba
Wanaonekana baadhi ya watuwaliokuwa wakifua mtoni hapo wengi wao wakiwa wanawake
Kutoka maeneo ya Mto Kichuro barabara ya Kalela Nshamba Wilayani Muleba, Camera yetu ikikufikishia unachostahili.
Mitaa ya Mji Mdogo wa Kibiashara wa Nshamba -Muleba.
Mdau Abdul pichani kama alivyokutwa akivinjali katika mitaa ya Mji Mdogo wa Nshamba.
Bila shaka unakumbuka na umepata kutumia sabuni za MAGWAJI kwa kuogea kabla ya Ujio wa sabuni ya Imperial (kutoka Kenya)
Hakika ni changamoto kubwa kwa ndugu zetu huko Vijijini mpaka sasa Sabuni za Magwaji zinatumika,wananchi wanaishi kwa masikitiko sawa na dhama za kunywa chai iliyochanganywa na pipi badala ya Sukari na kupikia samli ya ng’ombe wetu badala ya mafuta ya kupikia safi yanayotoka nje au yale ya pamba yetu...!
Hapa tunakutana na Wauzaji wa mabumunda /Baragala moja inauzwa kwa sarafu ya shilingi 10 tu!
Hii ni Live kutoka katika Gulio la Jumamosi katika Mji Mdogo wa Kibiashara wa Nshamba wilayani Muleba.

Camera yetu ikiendelea kukuangazia mitaa mbalimbali iliyopo Mjini Nshamba Wilayani Muleba
Pitapita za hapa na pale wanaonekana Wananchi wa Nshamba wakiendelea kufanya mahemezi yao kwa ajili ya matumizi mbalimbali
Hapa kinachotakiwa ni kufanyiwa marekebisho tu,hakika utalipenda hilo gari pichani ni roli aina ya Leyland maalum kwa ajili ya mizigo,hiyo ni Nshamba Muleba

Kutoka Mji Mdogo wa Nshamba Wilayani Muleba #Bukobawadau Media, tunaendelea kutoa Shukrani kubwa kwako wewe msomaji kuendelea kutembelea mtandao wetu!

Muonekano wa Msikiti wa uliopo Nshamba

Bukobawadau Nshamba Muleba July,2016
Barabara ya Tappa kutoka na kuelekea Muleba Mjini
Moja ya jengo la ghorofa lililopo Nshamba maarufu kwa Mshuti

Kagambo Trans ndivyo linavyosomeka roli aina ya Fuso pichani #Nshamba July 2016
Mdau pichani kama alivyokutwa na Camera yetu mitaa ya Nshamba Mjini July,2016
Kijana Abad Rasheed anaonekana pichani kupitia Mdandao wenu wa Bukobawadau # Nshamba
Kutoka Mji Mdogo wa Nshamba Wilayani Muleba #Bukobawadau Media, tunaendelea kutoa Shukrani kubwa kwako wewe msomaji kuendelea kutembelea mtandao wetu!

 Kwa hisani kubwa ya www,proaktiv.co.tz
Next Post Previous Post
Bukobawadau