KAGERA SUGAR WAFURAHIA KURUDI NYUMBANI, WAJIFUA KWA MARA YA KWANZA KAITABA LEO HII.
Wakiomba kabla ya kufanya Mazoezi leo hii jioni kwenye Uwanja wa Kaitaba.
Mwenyekiti wa kamati ya Waamuzi ya TFF, Salum Umande Chama ambaye pia ni Katibu wa KRFA (katikati) kulia ni Makamu Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF), WALLACE KARIA nao walikuwepo Uwanjani hapo kujionea Uwanja huo ambao umemalizika kwa kusuasua. 
Mecky Meximeakitoa maelekezo kwa wachezaji wake leo hii kwenye Uwanja wa Kaitaba, Wakijiandaa kuikaribisha Timu ya Mwadui hivi karibuni.
Kwa Makini Wachezaji wa Kagera Sugar wakisikiliza Viongozi wao
Wachezaji wa Kagera Suga wakijifua leo hii hioni kwenye Uwanja wa Kaitaba
Kocha mpya wa Kagera Sugar Mecky Mexime 


Dokta wa Timu ya Kagera Sugar(kulia) akiteta jambo na Mwamed (kushoto)
Walinda mlango wa Kagera Sugar wakijifua Vikali leo hii
Kocha Msaidizi wa Kagera Sugar Ally Jangaru
Mashabiki wamejitokeza kwa Wingi kuwakaribisha Kagera Sugar ambao walichezea Misimu miwili nje ya Uwanja wa Kaitaba. Msimu ulopita Kagera waliwapa presha kubwa wapenzi wao hadi dakika za mwisho ambapo walikuwa wanapigania kutoshuka daraja.


Mashabiki wakiwacheki Kagera Sugar leo wakati wa Mazoezi Kaitaba

Mashabiki wa Kagera Sugar leo wamejitokeza kwa wingi kuwaona wenzao 'Wanankurukumbi' wakati wa mazoezi
Mashabiki na Wapenzi mbalimbali wa timu ya Kagera Sugar wamejitokeza kwa Wingi hii leo kwa mara ya kwanza baada ya muda mrefu kupita kwa ujenzi wa uwanja huo.



Mazoezi makali kujiandaa na Mzunguko wa Tatu wa Ligi kuu Vodacom
Makipa wa Kagera Sugar wakijiuliza jambo leo wakati wa mazoezi yao kwa mara ya kwanza tangu Uwanja huo umalizike kujengwa hivi karibuni. Kagera Sugar wanajiandaa na Mchezo wao wa Ligi kuu Vodaom tarehe 3.



Mapumziko, Wachezaji wa Kagera Sugar wakipata maji ya kunywa.
Kocha Mkuu wa Kagera Mecky Mexime
Shabiki wa Kagera Sugar
Straika wa Bukoba Veteran Salum Bonge nae alikuwepo Uwanjani hapo
Mecky Mexime

