14 September 2016
BALOZI KAMALA ATEMBELEA MAKAZI YA MUDA YANAYOTUMIWA NA WAKAZI WA KITONGOJI BIRONGO KIJIJI MINZIRO - KATA MINZIRO
Mbunge wa Jimbo la Nkenge Balozi Dr. Diodorus Buberwa Kamala
akimsikiliza Mwenyekiti wa Kijiji Kigazi akibainisha changamoto
wanazopambana nazo Wanakijiji cha Kigazi baada tetemeko la ardhi kutokea
katika kijiji cha Kigazi. Mojawapo ya changamoto ni ukosefu makazi
baada ya nyumba zao kubomoka.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comment:
Post a Comment