Bukobawadau

MWENYEKITI U.W.T MGENI RASMI KATIKA MAHAFALI YA DINI YA KIISLAMU TAMBAZA DAR ES SALAAM JANA

 Mkuu wa Idara ya Biashara na Mlezi wa Wanafunzi wa Sekondari ya Tambaza, Abdul aziz Said  akizungumza na Wazazi  na wahitimu wa shule hiyo wakati wa Mahafali ya  Elimu ya Dini ya kiislam ya Sekondari ya kidato cha sita katika hafla iliyofanyika  Shule hapo Dar es Salaam jana. kulia ni Amiri wa Daawah Msikiti wa Tambaza, Sayed Qadry. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA) Mmiliki wa ujijirahaa blog.
 Mwanafunzi wa Kidato cha Sita, Maulidi Kassanga akisheherehesha kwa kusoma tenzi katika Mahafali hayo Dar es Salaam jana
 Wahitimu wakiwa katika utulivu wakisikiliza kwa umakini
 Wazazi na ndugu wakifatilia kilichokuwa kikiendelea ukumbini hapo
 Baadhi ya Wanafunzi hao

 Naib Imamu Msikiti wa Maamur, Haroub Khamis (kushoto) akizungumza jambo wakati wa hafla ya Mahafali ya Dini ya kiislam ya Sekondari ya kidato cha sita yaliyofanyika  Shule hapo Dar es Salaam jana ambapo wanafuzi hao wanajiandaa kufanya mitihani ya kumaliza kidato cha Sita
 Wanafunzi
 Mgeni rasmi katika mahafali hayo, Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (U.W.T) Upanga Magharibi, Hajati. Joha Simba (mwenye mtandio mweusi kichwani) akifatilia kwa umakini na wakwanza kushoto ni Mwalimu wa shule hiyo, Zuhura Gajo
  Mwalimu , Zuhura Gajo akipokea risala kutoka kwa muhitimu, Juma Kassim baada ya kuisoma na kukabidhiwa mgeni rasmi katika mahafali hayo, ambaye ni Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (U.W.T) Upanga Magharibi, Hajati. Joha Simba (kulia)
 Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (U.W.T) Upanga Magharibi, Hajati. Joha Simba (kulia) akimkabidhi cheti mwanafunzi, Tausi Mohammed wakati wa hafla ya Mahafali ya Dini ya kiislam ya Sekondari ya kidato cha sita yaliyofanyika  Shule hapo Dar es Salaam jana ambapo wanafuzi hao wanajiandaa kufanya mitihani ya kumaliza kidato cha Sita

 Wanafunzi hao wakiomba Dua wakati walipokuwa wakimaliza mahafali hayo Dar es Salaam jana

 Amiri wa Daawah Msikiti wa Tambaza, Sayed Qadry (kulia) akizungumza na Wazazi na wanafunzi wakati wa Mahafali ya Dini ya Kiislamu katika Shule ya Sekondari ya Tambaza yaliyofanyika Dar es Salaam jana, kushoto ni  Mkuu wa Idara ya Biashara na Mlezi wa Wanafunzi wa Sekondari hiyo, Abdul aziz Said
Amiri wa Daawah Msikiti wa Tambaza, Sayed Qadry (kulia) akimkabidhi cheti, Rajab Kassim wakati wa hafla ya Mahafali ya Dini ya kiislam ya Sekondari ya kidato cha sita yaliyofanyika  Shuleni hapo Dar es Salaam jana ambapo wanafuzi hao wanajiandaa kufanya mitihani ya kumaliza kidato cha Sita
Rajab Kassim (wa tatu kulia) akiwa katika picha ya pamoja na marafiki zake mara baada ya kumalizika mahafali hayo Dar es Salaam jana
Rajab Kassim, (wa pili kushoto) wakiwa katika nyuso za furaha mara baada ya kumalizika mahafali hayo jana
Next Post Previous Post
Bukobawadau