Saa 4:30 Usiku (Masaa ya Afrika Mashariki)
Habari za HIVI PUNDE kutoka Hospitali ya Mercy, Sioux City IA
MTOTO Doreen amemaliza KUFANYIWA UPASUAJI wa UTI wa MGONGO, kwa KILE
ambacho MADKTARI wamesema kumefanikiwa kwa UFANISI Mkubwa, KUPITA
matarajio yao. MTOTO Doreen alikuwa afanyiwe UPASUAJI kwa makadrio ya
MASAA 5:30, LAKINI zoezi HILO lilikamilika kwa muda wa MASAA 4:00, Huku
TEAM ya "Surgical Support" IKIWA na watu 6, na kwa PAMOJA wakiongozwa na
MADAKTARI BINGWA 2, Dr. Meyer na Dr. Durward. MTOTO Doreen amehamishwa
KUTOKA chumba cha UPASUAJI na kupekewa ICU, na MADAKTARI wamesema
KWAKUWA hali yake imeridhisha SANA, BAADAYE Leo watamtoa ICU ambako
wamempumzisha baada ya UPASUAJI, na kumrudisha WODI ya WATOTO ambako
ataendelea na MAPUMZIKO. MUNGU amesikia
MAOMBI ya WATANZANIA na WOTE waliotoa SALA na DUA zao kwa ajili ya MTOTO Doreen POPOTE Duniani.
UPDATE:Mei 18, Alhamisi Saa 2:05 (Saa za Afrika ya Mashariki)
HIVI PUNDE, kutoka hospitali ya Mercy, Sioux City, IA
MAOMBI ya WATANZANIA na WOTE waliotoa SALA na DUA zao kwa ajili ya MTOTO Doreen POPOTE Duniani.
UPDATE:Mei 18, Alhamisi Saa 2:05 (Saa za Afrika ya Mashariki)
HIVI PUNDE, kutoka hospitali ya Mercy, Sioux City, IA
MTOTO Wilson kwa mara KWANZA ametoka NJE ya Jengo Kuu la Hospital ya
Mercy akiwa kwenye "wheelchair", huku Mama na Daktari wake wakiwa na
TABASAMU***
UPDATE:Mei 18, Saa 1:54 (Saa za Afrika Mashariki)
HIVI PUNDE, Mercy Hospital, Sioux City IA:
MTOTO Sadia akiwa na Dkt. Steve Joyce, ambaye ni Daktari wake wa "Internal Medicine". MADAKTARI wanasema Binti Sadia ni MUUJIZA wa Mungu kutokana na HALI aliyokuwa nayo KABLA ya huduma ya UPASUAJI. Asanteni SANA kwa DUA na SALA zenu
HIVI PUNDE, Mercy Hospital, Sioux City IA:
MTOTO Sadia akiwa na Dkt. Steve Joyce, ambaye ni Daktari wake wa "Internal Medicine". MADAKTARI wanasema Binti Sadia ni MUUJIZA wa Mungu kutokana na HALI aliyokuwa nayo KABLA ya huduma ya UPASUAJI. Asanteni SANA kwa DUA na SALA zenu
1 comment:
Mc Binafsy kuna mamabo tunayaona wenzetu wanavyojitoa, upendo na kujitoa kwa ajiri ya mtu mweingine ambaye huna hata undugu naye ni jambo kubwa sana la kujifunza. Watz tujifunze kubwa zaidi tuwashukuru sana kwa njia zote. Mh Nyarandu pia ni Kiongozi mwenye mahusiano mazuri. Tuwaombee sana watoto wetu na kumshukuru Mungu.
KUTOA NI MOYO- GHARAMA YA KUKODI NDEGE ROUTE AMERICA- TZ- AMERICA- TZ - AMERICA NI SH NGAPI? MALAZI YA WAZAZI WA WATOTO, CHAKULA, MATIBABU? HAPO NDIO UTAONA HELA NI MATOKEO UTU NDIO JAMBO KUBWA YAANI HUMANITARIAN
Ujumbe wangu hasa kwa waliobahatoka kuwa nacho TUJIFUNZE KUJITOA KWA WAHITAJI
MH WILLIAM RUTTA +255 713 568276
Post a Comment