Bukobawadau

TAARIFA YA KIFO CHA BADRU KAITABA

Bukobawadau imepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha Kaka yetu,rafiki yetu Badru Kaitaba aliyekuwa Dereva maarufu na mchezaji wa Zamani Balimi FC kilichotoke katika hospitali ya rufaa ya Bugando leo Jumapili May 21,2017 majira ya Saa kumi na moja jioni,kufuatia ajali ya gari aliyoipata mjini hapa hivi majuzi...
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un!!
Next Post Previous Post
Bukobawadau