Bukobawadau

KAIMU KATIBU MKUU UVCCM SHAKA HAMDU SHAKA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MKUU WA MKOA WA RUKWA MHE; ZELOTE STEPHEN ZELOTE

Mhe Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhe:Zelote Stephen Zelote wa kwanza kushoto akimpokea kaimu katibu mkuu UVCCM Shaka Hamdu Shaka alipowasili ofisi za Mkoa kuzungumza Mambo mbali mbali ya kimaendelea pamoja na Utekelezaji wa Ilani ya CCM 2015-2015.
Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Shaka Hamdu Shaka wa pili kulia akizungumza Mambo mbali mbali ya kimaendelea pamoja na Utekelezaji wa Ilani ya CCM 2015-2015 pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Zelote Stephen Zelote wa kwanza kulia.
 Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhe:Zelote Stephen Zelote wa kwanza kushoto akielezea jinsi ilani ya Chama cha Mapinduzi inavyo tekelezwa katika mkoa wake kwa Ndg:Kaimu Katibu Mkuu Uvccm Shaka Hamdu Shaka alipowasili Mkoani hapo wakati akiendelea na ziara yake ya kikazi Mkoan Rukwa.

Ndg:Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Shaka Hamdu Shaka wa kwanza kushoto akiagana na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhe:Zelote Stephen Zelotemara baada ya kumaliza
Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Shaka Hamdu Shaka wa NNE Kulia akiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Zelote Stephen Zelote wa nne kushoto pamoja na Viongozi Mbalimbali wa Chama na Serikali  Mkoa wa Rukwa.
(Picha na FAHADI SIRAJI)
Next Post Previous Post
Bukobawadau