skip to main |
skip to sidebar
TANZIA:KIFO CHA PHILEMON NDESAMBURO
#TANZIA:Aliyewahi
kuwa mbunge wa Moshi mjini na Mwenyekiti wa mkoa wa Kilimanjaro
(CHADEMA) Philemon Ndesamburo amefariki ghafla wakati alipokuwa
akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC,Moshi.
0 comment:
Post a Comment