#Serikali inafanya mapitio ya majukumu ya watumishi wote wakiwemo walimu ili kuboresha maslahi ya watumishi wote kwa kuzingatia uzito wa kazi.
#Serikali
imechapisha na kusambaza vitabu,chati na miongozo mbalimbali ya
kufundishia na kujifunzia 8,359,868 kwa ajili ya darasa la 1 na 2.
#Serikali inaendelea na zoezi la kuviondoa vitabu visivyo hitajika katika matumizi kwenye shule za msingi na sekondari.
*IMEANDALIWA NA IDARA YA HABARI-MAELEZO*
#Serikali inaendelea na zoezi la kuviondoa vitabu visivyo hitajika katika matumizi kwenye shule za msingi na sekondari.
*IMEANDALIWA NA IDARA YA HABARI-MAELEZO*
0 comment:
Post a Comment