BALOZI KAMALA ATEMBELEA KATA KITOBO NA KUZINDUA MRADI WA DARAJA LA KYANKOKO
















Wanaonekana Vijana katika hali ya umakini wakimsikiliza Mbunge Balozi Dr. Diodorus Buberwa Kamala.


Wananchi wakifatilia maelezo kutoka kwa Diwani wao.
Kabla ya Mkutano wa hadhara Balozi Dr. Diodorus Buberwa Kamala aliweza kuzindua Chumba cha Darasa kilichojengwa na Michango ya wadau na fedha kutoka mfuko wa Mbunge wa Jimbo la Nkenge
Muonekano wa Bango mlangoni mara baada ya uzinduzi rasmi kufanyika.
Wadau wakisogea eneo la tukio kumsikiliza Mbunge wao Balozi Dr. Diodorus Buberwa Kamala.
#BUKOBAWADAU MEDIA tunapenda kukufahamisha kuwa tunao uwezo wa kukupa nafasi ya matangazo katika mtandao wetu pia kwa taarifa au shughuli yotote ili kufikia idadi ya watu unaotaka kokote dunia waweza kuwasiliana nasi kupitia namba +255 784 505045,0754 505043