Bukobawadau

Wawakilishi wa Wanariadha wa Mkoa wa Kagera

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu Salum M. Kijuu (Kulia) Akiwakabidhi Vifaa vya Michezo Wawakilishi wa Wanariadha wa Mkoa wa Kagera Amosi Simon na Ferix Vineras Wanaoondoka Mkoani Hapa Kwenda Jijini Mwanza Kushiriki Mbio za Marathon Maalufu Kama Rocky City Marathon October 29, 2017.Wa Kwanza Kutoka Kushoto ni Afisa Michezo wa Mkoa Bw. Kepha Elias.
Next Post Previous Post
Bukobawadau